OFISA Uhusiano Baraza la Vijana Shehiya ya Kianga (BAVIKI), Ahmed Said Mohamed, wa tatu (kulia) akiongoza zoezi la kufanya usafi hospitali ya Kianga, ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya maradhi mbalimbali ikiwemo maambukizi ya virusi vya Corona (PICHA NA ABDALLA OMAR).
Mwenyekiti wa Bodi Puma Tanzania asisitiza amani nchini kuimarisha Uchumi
-
KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika
Iftar iliyoandaliwa na Kampuni hiyo huku ikitumia nafasi hiyo kuwaomba
Watanzania...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment