Mlinzi wa Marikiti Kuu ya Darajani Jijini Zanzibar akiwa katrika zoezi la kuwapima joto Wananchi wanaoingia katika soko hilo kufuata mahitaji yao na kuhakikisha wakiwa wamevaa barkoa ili kujikinga na maambukizo ya Virusi vya Corona. Kama walivyokutwa na camera yake wakjiwa katika zoezi hilo nje ya soko hilo lilkiwa limezungushiwa uzio
Airtel na TPB Bank waungana kupata suluhisho huduma za Fedha kidigitali Nchini
-
* Airtel Tanzani imetangaza kuiingia ubia na Benki ya TPB kwa lengo na
dhamira ya kuboresha na kupanua wigo wa huduma za kifedha nchni Tanzania,
Airtel k...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment