Mlinzi wa Marikiti Kuu ya Darajani Jijini Zanzibar akiwa katrika zoezi la kuwapima joto Wananchi wanaoingia katika soko hilo kufuata mahitaji yao na kuhakikisha wakiwa wamevaa barkoa ili kujikinga na maambukizo ya Virusi vya Corona. Kama walivyokutwa na camera yake wakjiwa katika zoezi hilo nje ya soko hilo lilkiwa limezungushiwa uzio
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment