Mlinzi wa Marikiti Kuu ya Darajani Jijini Zanzibar akiwa katrika zoezi la kuwapima joto Wananchi wanaoingia katika soko hilo kufuata mahitaji yao na kuhakikisha wakiwa wamevaa barkoa ili kujikinga na maambukizo ya Virusi vya Corona. Kama walivyokutwa na camera yake wakjiwa katika zoezi hilo nje ya soko hilo lilkiwa limezungushiwa uzio
NGUMI NUSU FAINAL KLABU BINGWA TAIFA NI PATA SHIKA, NGUO KUCHANIKA
-
▫️Nusu fainali ya kwanza kufanyika usiku wa leo kwa mapambano 14
▫️Magereza warudi kwa kishindo msimu huu
18-09-2025, Tanga.
MASHINDANO ya ngumi Klabu Bin...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment