Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,Azungumza na Maofisa Wadhamani wa Wizara Pemba.Akiwa Katika Ziara Yake Pemba.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Maafisa Wadhamini wa Wizara Pemba wakati wa ziara yake Kisiwani Pemba mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Gavu akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) kuzungumza na Maofisa Wadhamini wa Wizara Pemba, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Maafisa Wadhamini wa Wizara Pemba wakati wa ziara yake Kisiwani Pemba mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba. 
BAADHI  ya  Maofisa Wadhamini  wa Wizara za Serikali Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba wakati wa ziara yake Pemba.
BAADHI  ya  Maofisa Wadhamini  wa Wizara za Serikali Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba wakati wa ziara yake Pemba

BAADHI  ya  Maofisa Wadhamini  wa Wizara za Serikali Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba wakati wa ziara yake Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.