Habari za Punde

WAZIRI MKUU AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA UCHAGUZI (NEC), LILILOPO NDEJENGWA, JIJINI DODOMA.

 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasili kwenye Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, wakati alipoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, linalojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMA JKT
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye  Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo Njedengwa, jijini Dodomalinalojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMA JKT
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Msimamizi na Meneja Mradi, Godwin Maro, wakati alipoenda kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), iliyopo Njedengwa, jijini Dodoma.    
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Msimamizi na Meneja Mradi, Godwin Maro, wakati alipoenda kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), iliyopo Njedengwa, jijini Dodoma.    


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye  Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo Njedengwa, jijini Dodomalinalojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMA JKT
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye  Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo Njedengwa, jijini Dodomalinalojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMA JKT

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.