Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta
utepe pamoja na Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa ili kuzindua mradi mkubwa
wa maji wa Kibamba-Kisarawe katika sherehe zilizofanyika Wilayani Kisarawe
Mkoani Pwani
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akifungua maji kwenye eneo la mradi wa Kibamba -Kisarawe mkoani Pwani mara
baada ya kuzindua mradi huo mkubwa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akifungua maji kwenye eneo la mradi wa Kibamba -Kisarawe mkoani Pwani mara
baada ya kuzindua mradi huo mkubwa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishika
maji ya bomba mara baada ya kuzindua mradi mkubwa wa Maji wa Kibamba-Kisarawe mkoani
Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishika
maji ya bomba mara baada ya kuzindua mradi mkubwa wa Maji wa Kibamba-Kisarawe mkoani
Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Mkewe Mama Janeth Magufuli wakati wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Dawasa Eng.
Cyprian Luhemeja wakati alipokuwa akitoa maelezo ya miradi mbalimbali ya Maji
katika mkoa wa Dar es Salaam na Kisarawe mkoani Pwani.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment