Habari za Punde

Makamu wa Rais mama Samia apokea salamu za rambirambi kutoka kwa Rais wa Zimbabwe

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na kupokea salam za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa zilizowasilishwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Kembo C.D Mohadi leo Julai 28, 2020 Ikulu Jijini Dar es salaam, kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na a Makamu wa Pili wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Kembo C.D Mohadi leo Julai 28, 2020 Ikulu Jijini Dar es salaam, kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.