Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Waziri Mkuu Mstaafu
Edward Lowassa wakati alipomkaribisha nyumbani kwake Ikulu ya Chamwino mkoani
Dodoma jana mara baada ya hafla ya Chakula cha mchana aliyowaandalia Wajumbe wa
Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu
Mstaafu Edward Lowassa jana wakati alipomkaribisha nyumbani kwake Ikulu ya
Chamwino mkoani Dodoma mara baada ya hafla ya Chakula cha mchana aliyowaandalia
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza Waziri Mkuu Mstaafu Edward
Lowassa mara baada ya mazungumzo yao nyumbani kwake Chamwino mkoani Dodoma baada
ya hafla ya Chakula cha mchana aliyowaandalia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama
cha Mapinduzi CCM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli kushoto
katika picha ya kumbukumbu na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa aliyeambatana
na Mkewe Mama Regina Lowassa nyumbani kwa Mhe.Rais Dkt. Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa
aliyeambatana na Mkewe Mama Regina Lowassa nyumbani kwa Mhe.Rais Dkt. Magufuli jana
mara baada ya hafla ya Chakula cha mchana aliyowaandalia Wajumbe wa Mkutano
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment