Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza katika Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu jijini vya Dar es salaam yaliyofanyika kwenye kumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam,
Wanavyuo wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza katika Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu vya jijini Dar es salaam yaliyofanyika kwenye kumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mic Mdegela ambaye ni Mwanachuo wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere anayesoma kozi ya Menejimenti ya Rasilimaliwatu baada ya kuzungumza na kutoa vyeti katika Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu vya jijini Dar es salaam yaliyofanyika kwenye kumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, Agosti 17, 2020. Kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, Kheri James.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment