Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP.Saimon Sirro akizungumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar kuhusiana na kudumisha Amani kuelekea katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 28 Oktoba 2020. amewataka kuendeleza hali ya amani inaendelea Nchini
Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar (CP) Mohamed Hassan Haji akizungumza wakati wa mkutano wa Viongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar uliofanyika Makamo Makuu wa Polisi Ziwani Jijini Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa Zanzibar wakifuatilia mkutano wao na IGP Sirro wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Polisi Ziwani Jijini Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa Zanzibar wakifuatilia mkutano wao na IGP Sirro wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Polisi Ziwani Jijini Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa Zanzibar wakifuatilia mkutano wao na IGP Sirro wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Polisi Ziwani Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment