Habari za Punde

MKUU WA TAKWIMU ZA BEI ATOA TAKWIMU ZA BEI ZANZIBAR.

Mkuu wa Takwimu za Bei kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Abdul-rahman Msham akitoa takwimu za Mfumuko wa Bei ambapo umeonekana kupanda kwa asilimia 3.6 kutoka asilimia 3.4 June 2020 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa serikali Zanzibar. 
Baadhi ya viongozi na Wageni Waalikwa waliohudhuria katika hafla ya utoaji wa Takwimu za Mfumuko wa Bei ambapo umeonekana kupanda kwa asilimia 3.6 kutoka asilimia 3.4 June 2020 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa serikali Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.