Mgombea ubunge Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akihakiki nyaraka muhimu kabla ya kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kugombea Jimbo la Kisesa. wengine ni Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Charles Mazuri kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Meatu, Juma Mwiburi
Wagombea Ubunge wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina (kulia) na Leah Komanya Jimbo la Meatu (kushoto ) wakijaza fomu za Tume ya Uchaguzi kuomba kuteuluwa kugombea majimbo hayo kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka huu.
Mgombea Ubunge Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akizungumza na madiwani walioteuliwa na CCM kiugombea kwenye kata za Jimbo la Kisesa muda mfupi baada ya kujeresha fomu ya kugombea ubunge 2020.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Awahutubia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Akiendelea na Mikutano yake ya Kampeni
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa
CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu
H...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment