Habari za Punde

Matukio ya Mipicha Kuto9ka Kisiwani Pemba.

AFISA mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba, ambye pia mjumbe wa jimbo wa Wawi kupitia CCM Ibrahim Saleh Juma, akimkabidhi moja ya fulana ya “Wawi Tunaweza” mmoja wa Vijana wa UVCCM Tawi la CCM Wawi Yussuf Abeid, uzinduzi uliofanyika huko Wawi.
AFISA mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba, ambaye pia ni mjumbe wa jimbo la Wawi kupitia Chama Cham mapinduzi, Ibrahim Salehe Juma akizungumza na wanachama wa UVCCM Tawi la Wawi, wakati wauzinduzi wa flana za uhamasshaji “Wawi Tunaweza” huko Wawi.
MKURUGENZI wa SOS Zanzibar Bi.Asha Salim Ali, akizumza na kutoka shehia ya Vitongoji, Chonga, Michenzani, Tumbe Mashariki na Tumbe Magharibi, wakati wamafunzo ya siku tano juu ya ujasiriamali kwa vijana hao.

VIJANA kutoka shehia ya Vitongoji, Chonga, Michenzani, Tumbe Mashariki na Tumbe Magharibi, wakifuatili ulufungu wa mafunzo ya siku tano ya ujasiriamli, mafunzo yaliyotolewa na SOS Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.