Wananchi wa Ikungi mkoani Singida
wakimshangilia Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili wakati
akitokea Wilaya ya Bahi kwenye Mikutano ya Kampeni za Urais.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi
CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akizungumza na Wananchi wa Ikungi mkoani Singida wakati akielekea
Singida mjini kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa Chama cha
Mapinduzi CCM
Wananchi wa Ikungi mkoani Singida
wakimshangilia Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili wakati
akitokea Wilaya ya Bahi kwenye Mikutano ya Kampeni za Urais.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi
CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiandika jambo katika hotuba yake kabla ya kuanza kuzungumza na Wananchi
wa Ikungi mkoani Singida.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment