MENEJA Kampeni za CCM
Mkoa wa Kusini Pemba Mohamed Aboud Mohamed, akimtambulisha mgombea ubunge jimbo
la Chonga Juma Mohamed Juma, kwa wananchi na wanaCCM wa jimbo hilo, wakati
wauzinduzi wa kampeni za jimbo hilo huko Pujini Wilaya ya Chake Chake
MENEJA Kampeni za CCM
Mkoa wa Kusini Pemba Mohamed Aboud Mohamed, akimtambulisha mgombea Uwakilishi
jimbo la Chonga Sulieman Massoud Makame, kwa wananchi na wanaCCM wa jimbo hilo,
wakati wauzinduzi wa kampeni za jimbo hilo huko Pujini Wilaya ya Chake Chake
MWENYEKITI wa CCM
Mkoa wa Kusini Pemba Yussuf Ali Juma, akimtambulisha meneja kampeni za CCM Mkoa
wa Kusini Pemba Mohamed Aboud Mohamed kwa wananchi na wanaCCM, wakati wa
Ufunguzi wa Mkapeni za CCM jimbo la Chonga Wilaya ya Chake Chake
MENEJA kampenzi za
CCM Mkoa wa Kusini Pemba Mohamed Aboud Mohamed, akiwahutubia wananchi na
wanaCCM wa Jimbo la Chonga Wilaya ya Chake Chake, wakati wa Ufunguzi wa Kampeni
za chama hicho katika uwanja wa Pujini
VIONGOZI mbali mbali wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Pemba, katikati ni mwenyekiti wa CCM Mkoa huo Yussuf Ali Juma, akifuatilia mkutano wa uzinduzi wakamopeni za chama hicho katika jimbo la Chonga Wilaya ya Chake Chake.
MJUMBE wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM Jimbo la Chonga Wilaya ya Chake Chake, huko katika uwanja wa Pujini.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment