Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP
Simon Sirro (wa pili kutoka kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kusini
Pemba Mhe. Hemed Suleiman kabla ya kuanza kwa kikao kazi na wadau wa vyama vya
siasa, viongozi wa dini, viongozi wa Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na
wadau wengine wa uchaguzi kisiwani Pemba. Picha
na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP
Simon Sirro, akizungumza na baadhi ya wadau wa vyama vya siasa, viongozi wa
dini, viongozi wa Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wadau wengine wa
uchaguzi (hawapo pichani) leo kisiwani Pemba wakati alipokuwa kwenye ziara ya
kikazi ambapo aliwataka wadau wote wa uchaguzi pamoja na wananchi kuendelea
kudumisha amani na utulivu kwenye kisiwa hicho. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Mohamed Hassan wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa dini baada ya kumaliza kikao kazi pamoja na wadau wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, viongozi wa Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wadau wengine wa uchaguzi leo kisiwani Pemba wakati alipokuwa kwenye ziara ya kikazi ambapo aliwataka wadau wote wa uchaguzi pamoja na wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu kwenye kisiwa hicho. Picha na Jeshi la Polisi
No comments:
Post a Comment