Habari za Punde

Ujenzi wa Mradi wa Kusarifu Taka Taka Kibeli Zanzibar

Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa akitembelea mradi wa kusarifu Taka (SOLIDWASTE AND SAUDGE MANAGMENT FOR ZAZNIBAR URBAN MUNICIPAL)amabao upochuni ya ZUSP Kibele wilaya ya Kati Unguja. 
Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa akipata maelekezo kutoka  kwa  (Materials Engineer) Seif Mazige kuhusiana na mradi wakusarifu Taka(SOLIDWASTE AND SAUDGE MANAGMENT FOR ZAZNIBAR URBAN MUNICIPAL)amabao upochuni ya ZUSP Kibele wilaya ya KatiUnguja.
Baadhi ya wafanya kazi wa mradi huo wakiendelea nakazi ya  kusarifu Taka(SOLIDWASTE AND SAUDGE MANAGMENT FOR ZAZNIBAR URBAN MUNICIPAL)amabao upochuni ya ZUSP Kibele wilaya ya Kati Unguja.

PICHA NA FAUZIA MUSSA /MAELEZO

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.