RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein
akiwa na Viongozi wa Serikalina Dini wakiwa wamesimama wakati Madrassatul Qullatenia Mwanakwerekwe
wakitowa Salamu ya Rais baada ya kuwasili katika viwanja vya mpira ya Maisara
Suleiman kuhudhuria hafla ya Maulidi ya Kuadhimisha Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad
(S.A.W) yaliofanyika jana usiki 18/10/2020.
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na (kushoto kwa Mama ) Makamu wa Rais
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, wakijumuika na
Waumini wa Dinui ya Kiislam katika hafla ya Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume
Muhammad yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar,
wakiwa wamesimama wakati Madrassatul Qullatenia ya Mwanakwerekwe Jijini
Zanzibar wakitowa Salamu ya Rais.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika viwanja vya Maisara Suleiman akihudhuria hafla ya Maadhimisho ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika jana usiku 18/10/2020 na (kulia kwa Rais) Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein, akitia ubani kumainisha kuyafungua Maulidi ya Kuadhimisha
Kuzaliwa kwa MtUME Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja ya Maisara
Suleiman Jijini Zanzibar, yalifanytika jana usiku
Ustadh
Khamis Ali Tano kutoka Donge Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja akisoma
Barzanji Mlango wa Kwanza, wakati wa hafla ya Maulidi ya Kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume
Muhammad (S.A.W) yaliofanyika jana usiku 18/10/2020 katika viwanja vya Maisara
Suleiman Jijini Zanzibar
SHEIKH
Abdullah Hamid kutoka Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar akisoma Tafsi ya Quran
tukufu (Suratul Aaraf Aya ya 156b -158) wakati wa hafla ya Maadhimishi ya
Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A. W) yaliofanyika katika viwanja vya
Maisara Suleiman Jijini Zanzibar.
BAADHI
ya Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakishiriki katika hafla ya Maulidi ya
Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara
Suleiman Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment