RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo
Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.
Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika maandamano
wakati wa hafla ya kumuaga iliofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein
SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Unguja na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe na (kulia kwa Rais) Makamu Mkuu wa
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Dkt. Zakia Mohammed, wakielekea katika
ukumbi. leo 6/10/2020
WANATAALUMA
wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar wakiwa
katika maandamano wakielekea katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu
Wilaya ya Kati Unguja wakati wa hafla ya kumuaga Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar iliofanyika katika ukumbi huo leo 6/10/2020
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo
Kikuu Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akiwa
amesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa baada ya kuwasili katika ukumbi wa
DK.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu, kuhudhuria hafla ya kumuaga iliofanyika
katika ukumbi huo na (kulia kwa Rais) Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar Dkt. Zakia Mohammed na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Amali Zanzibar Mhe
Riziki Pembe na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar Ndg. Mwita Mgeni.
BAADHI ya Viongozi
wa Serikali na Vyama vya Siasa wakiwa wamesimama wakati ukipigwa wimbo
wa Taifa katika hafla ya kumuaga Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
(SUZA) katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa
wa Kusini Unguja leo
SHEIKH
Suwed Ali Suwed akisoma Qur-an wakati wa hafla ya kumuaga Mkuu wa Chuo Kikuu
cha Taifa cha Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, iliofanyika katika ukumbi wa
Dk. Ali Mohamed Shein, Tunguu SUZA leo
MAKAMU
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Dkt. Zakia Mohammed akizungumza
wakati wa hafla ya kumuaga Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Ali Mohamed Shein, iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed
Shein Tunguu (SUZA) Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo
MAKAMU
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa Cha Zanzibar Ndg. Mwita Mgeni
akizungumza kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
(SUZA) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. hafla hiyo imewfanyika katika ukumbi wa Dk. Ali
Mohamed Shein Tunguu (SUZA)
WAZIRI
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe akizungumza wakati wa
hafla ya kumuaga Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, iliofanyika katika ukumbi wa Dk.
Ali Mohamed Shein Tunguu (SUZA).
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiangalia picha yake ya kuchora wakati
akikabidhiwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe
na (kushoto kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar Ndg. Mwita Mgeni, wakati wa hafla ya kumuaga iliofanyika katika ukumbi
wa Dk. Ali Mohamed Shein Tunguu (SUZA) Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akikabidhiwa zawadi ya picha yake ya kuchora
na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pemba wakati wa
hafla ya kumuaga iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein Tunguu
(SUZA) na (kulia kwa Rais) Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
Dkt. Zakia Mohammed na Profesa Saleh Idriss.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo
Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya viongozi wa SUZA. na (kulia kwa Rais) Makamu Mkuu wa SUZA
Dkt.Zakia Mohammed na Profesa Saleh Idriss Muhammad na (kushoto kwa Rais)
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la SUZA Ndg. Mwita Mgeni, Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pemba na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali Dkt. Idriss Muslim Hija.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akikabidhi Cheti Maalum na Makamu Mwenyekiti
wa Baraza la SUZA Ndg. Mwita Mgeni wakati wa hafla ya kumuaga iliofanyika
katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein Tunguu Wilaya ya Kati leo 6/10/2020.na
(kulia kwa Rais) Makamu Mkuu wa SUZA Dkt. Zakia Mohammed na Profesa Saleh
Idriss na (kushoto kwa Makamu wa Baraza
la SUZA) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe na
Katibu Mkuu wa Wizara hiyto Dkt. Idriss Muslim Hija
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akikabidhiwa zawadi na Waziri wa
Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe, wakati wa hafla ya kumuaga
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo
pichani) na (kulia kwake) Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Dkt.
Zakia Mohammed, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein
Tunguu (SUZA) Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mkuu wa Chuo
Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akihutubia katika hafla
ya kumuaga iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein Tunguu (SUZA) leo
6/10/2020 Wilaya ya Kati Mkoa Kusini
Unguja.
VIONGOZI
wa Serikali na Vyama vya Siasa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae
pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein, akihutubia katika hafla ya kumuaga iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali
Mohamed Shein SUZA Tungu Mkoa wa Kusini Wilaya ya Kati.
WANATAALUMA
na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar wakihudhuria hafla ya kumuaga
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, wakati
akihutubia katika ukumbi wa Dk Ali Mohameed Shein Tunguu (SUZA) leo
No comments:
Post a Comment