Muonekano wa moja ya majengo Matano ya Ghorofa ya Mradi wa Mj Mpya wa Kahani Jijini Zanzibar yakiwa na jumla ya nyumba 71 yamefunguliwa leo 12/10/2020 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. na kuwakabidhi baadhi ya Wananchi Watatu funguo za Nyumba zao wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika eneo la byumba hizo kwahani.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
Asalmm alaikumm mim naomba no ya office zao hizi nyumba na piya je zinakodishuwa hizi nymba naomb jibu tafadhal
ReplyDelete