Muonekano wa moja ya majengo Matano ya Ghorofa ya Mradi wa Mj Mpya wa Kahani Jijini Zanzibar yakiwa na jumla ya nyumba 71 yamefunguliwa leo 12/10/2020 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. na kuwakabidhi baadhi ya Wananchi Watatu funguo za Nyumba zao wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika eneo la byumba hizo kwahani.
“KIBAMBA YA KISASA YAJA: KAIRUKI AAHIDI BARABARA, MAJI, ELIMU BORA NA AFYA
IMARA KWA WOTE.
-
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kibamba Anjela Kairuki amewahakikishia
wananchi wa mbezi kuwa barabara inayotokea mbezi kupitia mpiji magohe hadi
bu...
2 hours ago
Asalmm alaikumm mim naomba no ya office zao hizi nyumba na piya je zinakodishuwa hizi nymba naomb jibu tafadhal
ReplyDelete