Muonekano wa moja ya majengo Matano ya Ghorofa ya Mradi wa Mj Mpya wa Kahani Jijini Zanzibar yakiwa na jumla ya nyumba 71 yamefunguliwa leo 12/10/2020 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. na kuwakabidhi baadhi ya Wananchi Watatu funguo za Nyumba zao wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika eneo la byumba hizo kwahani.
Ufungaji wa Kongamano la pili la Amani Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar
-
Mufti Mkuu wa Rwanda Shekh Saleh Habimana akitoa mada kwa washiriki wa
Kongamano la Amani akitoa muongozo kuilinda amani ya Zanzibar kupitia
mafundisho...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment