Habari za Punde

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Mgombea Urais wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli Amewasili Zanzibar Akitokea Mkoani Songwe Kuhudhuria Mkutano Wake wa Kampeni Kesho Katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar

Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM akiwasalimia viongozi mbalimbali pamoja na Wanachama wa CCM mara baada ya kuwasili Kisiwani Zanzibar wakati akitokea Tunduma mkoani Songwe
Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM akiwasalimia viongozi mbalimbali pamoja na Wanachama wa CCM mara baada ya kuwasili Kisiwani Zanzibar wakati akitokea Tunduma mkoani Songwe
Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM akiwasalimia Vijana wa CCM pamoja na Wanachama wa CCM mara baada ya kuwasili Kisiwani Zanzibar wakati akitokea Tunduma mkoani Songwe
                                                                           Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.