Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wakuu wa Mikoa kwenye kikao alichokiendesha kwa njia ya video kilichohusu tatizo la kupanda kwa bei ya saruji nchini. Alikuwa ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma, Novemba 21, 2020.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment