MWENYEKITI
wa Chama cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa
Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbi wa Kikao cha
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichofanyika leo Mkoani Dodoma
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dk. Ali
Mohamed Shein akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Waziri
Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na (kulia kwa
Dk Shein) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi,
wakati wa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Mkoani
Dodoma leo 28/11/2020
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati wakiimba Wimbo wa Chama cha
Mapinduzi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM muda mfupi kabla ya kuanza
kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika leo 28
Novemba, 2020 jijini Dodoma
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Mkoani Dodoma leo 28 jijini Dodoma na (kulia kwa Mwenyekiti) Makamu Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein.
WAJUMBE
wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM wakisoma makabrasha kabla ya kuaza kwa
Kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Jamuhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) kulia
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya
CCM Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu
ya CCM Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
MWENYEKITI
wa Chama cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa
Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbi wa Kikao cha
Kamati Kuu, kilichofanyika leo Mkoani Dodoma.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Rais Mstaafu
wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali
Mwinyi na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, wakati wakitoka kwenye
Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jijini Dodoma leo
28 Novemba 2020. Mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment