Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibae Sheikh. Mahmoud Mussa Ngwali alipowasili katika viwanja vya Masjid Mwitani Wete Pemba kuhudhuria Sala ya Ijumaa na Kisomo cha Dua Maalum ya kumuombea na kuiombea Nchi Amani iliofanyika baada ya Sala ya Ijumaa.
WAUMINI
wa Dini ya Kiislam Mkoa wa Kaskazini Pemba wakiwa nje ya Masjid Mwitani Wete
wakijumuika katika Dua Maalum ya kuiombea Nchi Amani na kumuombea Dua Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani ) baada ya kumalizika Sala ya Ijumaa iliofanyika msikitini hapo leo.18-12-2020
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akijumuika na Waumini wa Kiislam katika Dua Maalum ya kumuombea Alhajj Dk
Hussein Mwinyi na kuiombea Nchi amani, ikisomwa na Sheikh Abdalla Rashid
Abdalla, iliofanyika katika Masjid Mwitani Wete Mkoa wa Kaskazni Pemba leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na Wananchi na Waumini wa Dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa
Dua ya kuiombea Nchi Amani na kumuombea dua, iliofanyika katika Masjid Mwitani
Wete Pemba leo baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi
akiitikia dua ya kuhitimisha Dua Maalum ya kumuombea na kuiombea Nchi Amani
ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman na iliofanyika katika
Masjid Mwitani Wete Pemba leo
WAUMINI
wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua ya kuhitimisha ikisomwa nna Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, iliofanyika katika Masjid Mwitani Wete Pemba
leo 18-12-2020 baada ya Sala ya Ijumaa
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Dua Maalum ya
Kuiombea Nchi Amani iliofanyika katika Masjid Mwitani Wete Mkoa wa Kaskazini
Pemba
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Dua Maalum ya
Kuiombea Nchi Amani iliofanyika katika Masjid Mwitani Wete Mkoa wa Kaskazini
Pemba
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi
akiagana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Ngwali , baada ya
kumalizika kwa Dua Maalum ya kumuombea na kuiombea Nchi Amani iliofanyika
katika Masjid Mwitani Wete Pemba
No comments:
Post a Comment