Kaimu Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto ambae pia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akizungumza na wahudumu wa Afya ambao ni waajiriwa wapya (Orderlies) katika hospitali ya Rufaa Mnazi Mmoja Mjini Unguja. katika mazungumzo hayo aliambatana na kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya rufaa Mnazi Mmoja Dkt Msafiri Marijani.
Na Maulid Yussuf WEMA
Kaimu Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto ambae pia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akizungumza na wahudumu wa Afya ambao ni waajiriwa wapya (Orderlies) katika hospitali ya Rufaa Mnazi Mmoja Mjini Unguja. katika mazungumzo hayo aliambatana na kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya rufaa Mnazi Mmoja Dkt Msafiri Marijani .
Na Maulid Yussuf WEMA
No comments:
Post a Comment