Habari za Punde

Mtoto Shaban Haji Shaban Amepatikana Baada ya Kutekwa na Mwendesha Bodaboda Segerea Mwisho

Tunatoa shukurani za dhati kwenu nyote mliokuwa pamoja nasi katika juhudi na dua za kumsaka mtoto Shabani Haji Shabani aliyetekwa na mwendesha bodaboda hapa Tabata Segerea mwisho.tunaujulisha umma kuwa mtoto huyu amepatikana na kuletwa hadi nyumbani na wasamalia wema.Mwenyezi mungu awazidishie upendo.
Ahsanteni sana

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.