Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, akiongozana na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Sururu (kushoto), baada ya kumaliza ziara ya ukaguzi wa huduma za Kiuhamiaji katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,Visiwani Zanzibar. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, akimsikiliza Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Sururu (kushoto), wakati wa ziara ya ukaguzi wa huduma za Kiuhamiaji katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Visiwani Zanzibar. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, akiongozana na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Sururu (katikati), wakati wa ziara ya ukaguzi wa huduma za Kiuhamiaji katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,Visiwani Zanzibar. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, akiongozana na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Sururu (kushoto), wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi wa ukarabati wa nyumba za askari polisi wa uhamiaji(zinazoonekana pichani), zilizopo Kiembe Samaki,Visiwani Zanzibar. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment