RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na baadhi ya Vikundi vya Wajasiriamali mbalimbali kutoka Mkoa wa
Kusini Pemba wakati wa mkutano wake wa kutowa shukrani kwao kwa kumchagua kuwa
Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi wa Oktoba
2020, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Fidel
Castro Wilaya ya Chakechake Pemba
BAADHI
ya Wajasiriamali kutoka Vikundi mbalimbali katika Mkoa wa Kusini Pembe
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa
mkutano wake na kutowa shukrani kwao kwa kumchagua kuwa Rais wa Zanzibar
, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Fidel Castro
Pemba Wilaya ya Chakechake
BAADHI
ya Wajasiriamali kutoka Vikundi mbalimbali katika Mkoa wa Kusini Pembe
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa
mkutano wake na kutowa shukrani kwao kwa kumchagua kuwa Rais wa Zanzibar
, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Fidel Castro
Pemba Wilaya ya Chakechake
BAADHI
ya Wajasiriamali kutoka Vikundi mbalimbali katika Mkoa wa Kusini Pembe
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa
mkutano wake na kutowa shukrani kwao kwa kumchagua kuwa Rais wa Zanzibar
, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Fidel Castro
Pemba Wilaya ya Chakechake
MKUU
wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahro akizungumza wakati wa mkutano wa Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husseinn Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na Vikundi vya Wajasiriamali wa
Mkoa wa Kusini Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Fidel
Castro Pemba
No comments:
Post a Comment