Habari za Punde

RC Ayoub mgeni rasmi Uzinduzi wa kikundi cha Youth Catering and Cleaners Wete Pemba

WAALIKWA Mbali mbali wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa kikundi cha Youth Catering and Cleaners Group (YCCG) ya Wete, uzinduzi huo uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Ayoub Mohammed Mahmoud, huko Bopwe Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWENYEKITI wa kikundi cha Youth Catering and Cleaners Group akizungumza wakati wauzinduzi wa kampuni hiyo, uzinduzi uliofanyika huko Bopwe wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akitoa salamu na ahadi zake wakati wa uzinduzi wa kikundi cha Youth Catering and Cleaners Group, uzinduzi uliofanyika Bopwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Ayoub Mohammed Mahmoud akizungumza na Viongozi mbali mbali, wananchi na wanachama wa kikundi cha Youth Catering and Cleaners Group cha Wete, wakati wa uzinduzi wa kikundi hicho huko Bopwe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MLEZI wa Kikundi cha Youth Catering and Cleaners Group cha Wete, ambae pia ni mbunge wa jimbo la Kojani Hamad Hassan Chande akitoa maelezo juu ya kikundi hicho huko Bopwe Wete, wakati wa uzinduzi wa kikundi hicho.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

VIONGOZI wa majimbo mbali mbali Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa kikundi cha Youth Catering and Cleaners Group cha Wete, uzinduzi uliofanyika Bopwe Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Ayoub Mohammed Mahmoud, akifanya uzinduzi wa kikundi cha Youth Catering and Cleaners cha Wete, kwa kukagua vyakula mbali mbali ambavyo vimepikwa na wanakikundi hao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.