Habari za Punde

Zantel yazindua huduma ya Haba na Haba Hununua Smarta

MKUU wa kitengo cha Bidhaa na Bei kutoka Kampuni ya simu ya Zantel, Aneth Jamillah Muga, (kulia) akitoa maelezo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kuzinduliwa huduma ya (HABA NA HABA, HUNUNUA SMARTA) Kushoto ni Mkuu wa Zantel Zanzibar Mohamed Mussa (Baucha). (PICHA NA ABDALLA OMAR


 MKUU wa kitengo cha Bidhaa na Bei kutoka Kampuni ya simu ya Zantel, Aneth Jamillah Muga, (kulia) akionyesha kipeperushi chenye maelezo ya huduma kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kuzinduliwa huduma ya (HABA NA HABA, HUNUNUA SMARTA). (PICHA NA ABDALLA OMAR

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.