Habari za Punde

Hafla ya uzinduzi wa Jumuiya ya Labour Empowerment Organisation(LEO)

Wasanii wa Freinds of Mwinyi wakitoa burudani katika hafla ya uzinduzi wa Jumuiya ya LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) katika Ukumbi wa Madinatal Bahar Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Katibu Mtendaji Freinds of Mwinyi Fatma akisoma Risala katika hafla ya uzinduzi wa Jumuiya ya LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita akiwahutubia wageni waalikwa na kuzindua rasmi Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita akiwahutubia wageni waalikwa na kuzindua rasmi Jumuiya ya  LEBOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Mwenyekiti wa Freinds of Mwinyi Mohammed H. Mitawi (kushoto) akimkabidhi zawadi maalum  Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita katika hafla ya uzinduzi wa  Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita (KULIA) akimkabidhi zawadi maalum Mwenyekiti wa Freinds of Mwinyi Mohammed H. Mitawi  katika hafla ya uzinduzi wa  Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita (KULIA) akimkabidhi zawadi maalum Mshiriki wa Freinds of Mwinyi Rayyan Mohammed  katika hafla ya uzinduzi wa  Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita (KULIA) akimkabidhi zawadi maalum msanii kutoka Freinds of Mwinyi Saleh Abdalla  katika hafla ya uzinduzi wa  Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita (KULIA) akimkabidhi zawadi maalum Mdhamini wa Freinds of Mwinyi Joseph Abdalla Meza  katika hafla ya uzinduzi wa  Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Mlezi wa Freinds of Mwinyi akitoa neno la shukurani  katika hafla ya uzinduzi wa  Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar

Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia  Maulid Mwita  (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi pamoja na wadhamin wa Freinds of Mwinyi    katika hafla ya uzinduzi wa  Jumuiya ya  LABOUR EMPOWERMENT ORGANIZATION (LEO) huko Ukumbi wa Madinatal Bahr Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

PICHA NA FAUZIA MUSSA/ MAELEZO ZANZIBAR

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.