MTEULE
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said,
akiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar akisubiri kuapishwa kuwa Katibu wa
Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) hafla hiyo
imefanyika leo 2/1/2021 Ikulu Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na
Katibu Mkuu Kiongozi, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar,
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisaini Hati ya Kiapo ya Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi
Mhandisi Zena Ahmed Said, baada ya kumuapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi Hati ya Kiapo Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, baada ya kuisain, hafla hiyo imefanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
KATIBU
wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said akiwa
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar baada ya kuapishwa na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
na (kulia kwake) Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid
na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaaf
Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib
Haji, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu wakati wa hafla hiyo.
WAKUU
wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu
Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo.
BAADHI
ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia kuapishwa kwa Katibu
wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, wakati
wa hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 2/1/2021.
No comments:
Post a Comment