Mshambuliaji wa Simba Miraji Athumani 'Sheva' akimtoka beki wa Chipukizi katika Mechi ya Mapinduzi Cup. Simba iliifunga Chipukizi goli 3-1 Magoli ya Simba yalifungwa na Miraji Athumani 2 na Meddi Kafgere MK14c goli moja. Goli la Chipukizi lilifungwa na Faki Mwalimu
Mchezaji wa Simba Ibrahim Hajib akimtoka beki wa Chipukizi Chipukizi katika Mechi ya Mapinduzi Cup. Simba iliifunga Chipukizi goli 3-1 Magoli ya Simba yalifungwa na Miraji Athumani 2 na Meddi Kafgere MK14c goli moja. Goli la Chipukizi lilifungwa na Faki Mwalimu
Mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere akimtoka mmoja wa mabeki wa timu ya Chipukizi
No comments:
Post a Comment