Wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA wakiingia Bungeni wakati walipoalikwa kuingia na Spika wa Bunge, Job Ndugai, jijini Dodoma, Februari, 2, 2021.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Doroth Gwajima akijibu swali Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa Hoja ya kujadili Hotuba ya Mheshimwa Rais, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliyoitoa wakati wa Ufunguzi wa Bunge la Kumi na Mbili, Novemba 13, 2020 Bungeni jijini Dodoma, Februari 2, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment