Habari za Punde

Kutoka Bungeni Jijini Dodoma leo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kawe,  Askofu Josephat Gwajima, Bungeni jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya wabunge kutoka Mkoa wa Mara kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 4, 2021. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais  (Muungano na Mazingira), Mwita  Waitara, Mbunge wa Butiama, Jumanne  Sagini,  Mbunge wa Musoma Mjini, Vedasto Mathayo na Mbunge wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.