Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba, Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (kushoto) , Mbunge wa Same Magharibi , Dkt. David Mathayo (wa tatu kushoto ) na Mbunge wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Same Magharibi, Dkt. David Mathayo (katikati) na Mbunge wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 5, 2021.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment