JAJI
Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othnman Makungu (katikati) akiongoza Maandamano ya
Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, wakiindia katika viwanja bya ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijijni Zanzibar, wakimalizia maandamano
hayo yalioazia katika viwanja vya Mahkama Kuu ya Zanzibar Vuga
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala
Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na (kulia kwa Waziri) Jaji Mkuu wa
Zanzibar Mhe.Omar Othman Makungu, alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa
Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar kuhudhuria Maadhimisho ya
Siku ya Sheria Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na (kulia kwa Rais)
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana, wakielekea
katika ukumbi wa mkutano wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar,
kuhudhuria Siku ya Maadhimisho ya Sheria Zanzibar
RAIS
wa Jumuiya ya Mawakili Zanzibar Mhe.Slim Said Abdallah akiwasilisha Salamu za
Jumuiya yao wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar
ilioadhimishwa katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini
Zanzibar
NAIBU
Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Mhe. Muumini Khamis Kombo akizungumza wakati wa
Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar iliofanyika katika ukumbi wa Sheikh
Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
MWANASHERIA
Mkuu wa Serikali Dkt.Mwinyi Talib Haji akizungumza na kutowa Salamu wakati wa Maadhimisho ya Siku
ya Sheria Zanzibar, yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil
Kikwajuni Jijini Zanzibar
BAADHI
ya Mawakili na wageni waalikwa wakifuatilia hafla ya Maadhimisho ya Wiki ya
Sheria Zanzibar, yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil
Kikwajuni Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment