Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli
akimuapisha Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Balozi kabla ya kumuapisha tena kuwa
Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam
leo tarehe 27 Februari 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Februari 2021.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli
akishuhudia Kamishna wa Maadili Jaji wa Mahakama ya Rufani, Sivangilwa
Sikalaliwa Mwangesi kushoto alipokuwa akiongoza Kiapo cha Maadili kwa Viongozi
wa Umma kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa mara baada ya
kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU.
No comments:
Post a Comment