Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato wakiwa wamesimama
barabarani huku wengine wakitandika kanga na nguo kama
ishara ya Heshima ya kumuaga aliyekuwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Awamu ya tano Hayati Dkt. John
Pombe Magufuli wakati akipitishwa kuelekea Nyumbani kwake Chato leo tarehe 24
Machi 2021.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment