Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato wakiwa wamesimama
barabarani huku wengine wakitandika kanga na nguo kama
ishara ya Heshima ya kumuaga aliyekuwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Awamu ya tano Hayati Dkt. John
Pombe Magufuli wakati akipitishwa kuelekea Nyumbani kwake Chato leo tarehe 24
Machi 2021.
ALEX MSAMA ATOA NENO VURUGU OKTOBA 29 ,AMPONGEZA RAIS SAMIA KUUNDA TUME
-
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama ameshauri kuwa
kilichotokea Oktoba 29, kisijirudie na watanzania wote tuseme inato...
26 minutes ago









No comments:
Post a Comment