Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato wakiwa wamesimama
barabarani huku wengine wakitandika kanga na nguo kama
ishara ya Heshima ya kumuaga aliyekuwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Awamu ya tano Hayati Dkt. John
Pombe Magufuli wakati akipitishwa kuelekea Nyumbani kwake Chato leo tarehe 24
Machi 2021.
Mwanamitandao na Shabiki Maarufu wa Man City Brydon Bent Kuja Tanzania
-
*#UnforgetableTanzania na *#DestinationTanzania
MWANAMITANDAO na shabiki maarufu wa klabu ya Manchester City, Brydon Bent,
anatarajiwa kuwasili Tanzania ka...
27 minutes ago








0 Comments