Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato wakiwa wamesimama
barabarani huku wengine wakitandika kanga na nguo kama
ishara ya Heshima ya kumuaga aliyekuwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Awamu ya tano Hayati Dkt. John
Pombe Magufuli wakati akipitishwa kuelekea Nyumbani kwake Chato leo tarehe 24
Machi 2021.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment