MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiwakabidhi Futari Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar alipofika
kuwasalimia katika makaazi yao Sebleni na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya
matumizi ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiwakabidhi Futari Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar alipofika
kuwasalimia katika makaazi yao Sebleni na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya
matumizi ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiwakabidhi Futari Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar alipofika
kuwasalimia katika makaazi yao Sebleni na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya
matumizi ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na
Watoto Zanzibar anayeshughulikia (Ustawi wa Jamii,Wazee,Jinsia na Watoto ) Bi. Abeida
Rashid Abdallah akizungumza wakati wa alipofika katika makaazi ya Nyumba za
Wazee Sebleni kuwasalimia na kuwakabidhi Futari na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa
wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akizungumza na Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni alipofanya ziara ya
kuwatembelea na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, na
(kulia kwake) Naibu Katibu Mkuu Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Bi.
Abeida Rashid Abdallah na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana
BAADHI ya Wazee wa Nyumba ya Wazee Sebleni wakimshangilia Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani) alipofika katika makazi
yao kwa ajili ya kuwasalimia na kuwakabidhi Futari kwa ajili ya mfungo wa Mwezi
Mtukufu wa Ramadhani, hafla hiyo imefanyika katika makaazi yao Sebleni Jijini
Zanzibar
Bi. Asaa Ali Issa akitowa shukrani kwa niaba ya
Wazee wa Nyumba ya Wazee Sebleni kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani)
alipofika katika makaazi ya Wazee Sebleni kuwasalimia na kuwakabidhi Futari kwa
ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akimsalimia Bi. Aziza Ibrahim mmoja wa Wazee wanaoishi katika Nyumba za
Serikali za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar alipofika kuwasalimia na kuwakabidhi
Futari kwa ajili ya matumizi ya Mwezi Mtukifu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa
katika picha ya pamoja na Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni baada ya kuwasalimia
na kuwakabidhi futari kwa ajili ya matumizi ya mwezi mtukufu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa
katika picha ya pamoja na Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni baada ya kuwasalimia
na kuwakabidhi futari kwa ajili ya matumizi ya mwezi mtukufu wa Ramadhani
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akifurahia jambo wakati akizungumza na kuwaaga Wazee wa Nyumba ya Wazee Sebleni
Jijini Zanzibar, baada ya kuwakabidhi Futari kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa
Ramadhani
No comments:
Post a Comment