Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Balozi wa Marekani nchini, Dkt. Donald Wright (kulia), walipokutana kwa mazungumzo leo katika Makao Makuu ya wizara,jijini Dodoma
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dkt. Donald Wright akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), walipokutana kwa mazungumzo leo katika Makao Makuu ya wizara jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
WANANCHI WAALIKWA KUFIKA BANDA LA CMSA KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA
UELEWA MASUALA YANAYOHUSU MASOKO YA MITAJI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)imewakaribisha wananchi
wanaofika katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataita y...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment