Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Balozi wa Marekani nchini, Dkt. Donald Wright (kulia), walipokutana kwa mazungumzo leo katika Makao Makuu ya wizara,jijini Dodoma
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dkt. Donald Wright akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), walipokutana kwa mazungumzo leo katika Makao Makuu ya wizara jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment