Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Balozi wa Marekani nchini, Dkt. Donald Wright (kulia), walipokutana kwa mazungumzo leo katika Makao Makuu ya wizara,jijini Dodoma
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dkt. Donald Wright akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), walipokutana kwa mazungumzo leo katika Makao Makuu ya wizara jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Itaendelea Kuwahusisha Kikamilifu Kwenye Utekelezaji wa Miradi Mikubwa ya
Maendeleo kwa Kuzingatia Dhana ya Ushirikishwaji wa Wataalamu wa Kitanzania
Katika Miradi Endelevu ya Kimkakati -Dk.Hussein
-
*SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inathamini sana mchango wa **fani
za Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Zanzibar kwenye utekelezaji wa
mipango...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment