Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.,Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume baada ya kumalizika kwa Sala ya Magharibi iliofanyika katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall.
BAADHI ya Watoto kutoka makundi Maalum
wakishiriki katika futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) kwa
Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, iliofanyika katika ukumbi wa
Michezani Mall Jijini Zanzibar
BAADHI ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa na
Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakijumuika na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
katika futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini
Zanzibar
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa jengo
la Michezani Mall Jijini Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akijumuika na Wanawake wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja katika futari maalum
ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall
Jijini Zanzibar,na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Mhe.Dkt.Saad Mkuya Salum na Waziri wa Utalii
na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe Lela Mohammed Mussa
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo
pichani) katika futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika
katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo
pichani) katika futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika
katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.
MWANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Bw.
Mwinchande Harona Mohammed akitowa neno
la shukrani kwa niaba ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja kwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa hafla ya futari maalum aliyowaandalia katika
ukumbi wa jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa hafla ya futari maalum
aliyoiandaa kwa ajili ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika
katika jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa hafla ya futari maalum
aliyoiandaa kwa ajili ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika
katika jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum
aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja iliofanyika katika
ukumbi wa jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa
Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Ndg. Talib
Ali, wakiitikia dua
BAADHI ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na
Wananchi wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar
Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall
Jijini Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi.(hayupo
pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum iliyoandaliwa na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall, kwa Wananchi
wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwake)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais.Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum na
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe.Lela Mohammed Mussa.wakiitikia dua
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi
(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali
Mwinyi kwa Wananchi wa Mkoa huo, iliofanyika katika ukumbi wa jengo la
Michezani Mall Jijini Zanzibar
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi
(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali
Mwinyi kwa Wananchi wa Mkoa huo, iliofanyika katika ukumbi wa jengo la
Michezani Mall Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuwaaga Wananchi baada ya
kumalizika kwa hafla ya futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa jengo la
Michezani Mall Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment