Habari za Punde

PBZ Yatoa Mafunzo ya Huduma za Kibenki Kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe, Zuberi Ali Maulid akifungua semina ya mafunzo kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusiana na Huduma za Kifedha, yalioandaliwa na Benki ya PBZ Islamic kwa Wajumbe semina hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa Baraza Chukwani Jijini Zanzibar.

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia Semina ya Mafunzo ya Huduma za Kibenki yakitolewa na Benki ya PBZ Islamic kwa wajumbe yaliofanyika katika ukumbi mdogo wa Baraza Chukwani Jijini Zanzibar.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia Semina ya Mafunzo ya Huduma za Kibenki yakitolewa na Benki ya PBZ Islamic kwa wajumbe yaliofanyika katika ukumbi mdogo wa Baraza Chukwani Jijini Zanzibar.
                                                                      Picha na BLW

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.