Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassanakisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia MwanamfalmeMhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 25 Mei, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Waziri wa
Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwanamfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara
baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na
mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwanamfalme Mhe. Faisal Bin
Farhan Al Saud mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Waziri wa
Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwanamfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara
baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Waziri wa
Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwanamfalme Mhe. Faisal Bin Farhan Al Saud mara
baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 25 Mei, 2021.PICHA
NA IKULU
No comments:
Post a Comment