RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Pemba katika futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa zamani wa
Baraza la Wawakilishi Wete Pemba na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh.Saleh Omar Kabi na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe
Mattar Zahor Mattar
WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Pemba wakijumuika
katika hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika
katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika futari Maalum
ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa Baraza la
Wawakilishi wa zamani Wete Pemba na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwake)
Mkuu wa Mkoa Kaskazini Pemba Mhe.Salama Mbarouk
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika Futari Maalum
ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.
Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa
Baraza la Wawakilishi Wete Pemba
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba
wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani)
katika Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani ) iliofanyika katika
ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba
SHEIKH Ahmada Hassan Bakari kutoka Wilaya ya
Micheweni Pemba akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Pemba, wakati wa hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la
Wawakilishi Wete Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa
Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum
aliyowaandalia katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa
Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahro Mattar, wakati wa hafla ya futari maalum
iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba
wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali
Mwinyi, iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayupo
pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani)iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi
Wete Pemba na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini
Pemba Mhe.Salama Mbarouk
No comments:
Post a Comment