RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh.Salum
Gharib baada ya kumalizika kwa Sala ya Magharibi iliofanyika katika ukumbi wa
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja mkokotoni, wakati wa hafla ya futari
ilioandaliwa na Rais kwa Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja,na (kulia kwa
Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na (kushoto kwa Rais) Mkuu
wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Haroun Ali
Suleiman na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja katika futari Maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja mkokotoni, (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakijumuika
katika Futari Maalum iliandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika
ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni Unguja
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub
Mohammed Mahmoud akizungumza na kutowa salamu za Mkoa wakati wa hafla ya Futari
Maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa Wananchi wa Mkoa huo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi ya Msahafu
uliotolewa na Masheikh wa Mkoa wa Kaskazini Unguja akikabidhiwa na Mkuu wa Mkoa
wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kumalizika kwa hafla
ya futari maalum ilioandaliwa kwa Wananchi wa Mkoa huo.
KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja katika futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika
ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni Unguja, akimuwakilisha Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na (kulia kwake) Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya
Makazi Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma na (kushoto kwake ) Mwakilishi wa Jimbo
la Bumbwini Mhe Mtumwa Peya Yussuf
WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakijumuika
katika Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni
WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakijumuika
katika Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja iliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni
MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo Mkoa wa
Kaskazini Unguja Ndg.Ali Akalipo Ali akitowa neno la shukrani kwa niaba ya
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya fitari
maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa Wananchi wa Mkoa huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa
Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya futali maalum
aliyowaandalia katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni.
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwasalimia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia
Wananchi wa Mkoa huo katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwasalimia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia
Wananchi wa Mkoa huo katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni.
MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
akisoma dua baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja iliofanyika katika ukumbo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni
na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed
Mahmoud na Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais ,Sera,Uratibu wa Baraza la
Wawakilishi.Dkt.Khalid Salum Mohammed
No comments:
Post a Comment