Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassanakimkaribisha
Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki mara
baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha
ya pamoja na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter
Mathuki mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia zawadi ya Picha ya kuchora aliyopewa na
Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki mara
baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Juni, 2021.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment