
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud akizungumza na Wananchi katika eneo la Soko la Kinyasini baada ya kuusimamisha msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk.Hussein Ali Mwinyi, kutoka kero zao, wakati wa kuaza ziara yake leo katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wananchi na Wafanyabiashara katika Soko la Kinyasini Mkoa wa Kaskaziniu Unguja wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud akizungumza na Wananchi hao baada ya kuusimamisha msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakati akiendelea na ziara yake katika wa Kaskazini Unguja leo.
MWANANCHI wa Kijiji cha Kinyasini Mkoa wa
Kaskazini Unguja.Ndg.Vuai Makame akisisitiza jambo wakati akiwasilisha kero yake
kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) aliposimama katika eneo la Soko la Kinyasini kuzungumza
na na Wananchi wa eneo hilo la Biashara, wakati wa ziara yake katika Mkoa wa
Kaskazini Unguja
MWANANCHI wa Kijiji cha Kinyasini Mkoa wa
Kaskazini Unguja.Ndg. Sheha Juma (Dosa) akizungumza kero yake kwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) aliposimama katika eneo la Soko la Kinyasini kuzungumza na na Wananchi
wa eneo hilo la Biashara, wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Unguja
MWANANCHI wa Kijiji cha Kinyasini Mkoa wa
Kaskazini Unguja. akizungumza kero yake kwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) aliposimama katika eneo la Soko la Kinyasini kuzungumza na na Wananchi
wa eneo hilo la Biashara, wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Unguja
Mama lishe wa Soko la Kinyasini Mkoa wa
Kaskazini Unguja.Bi.Fatma Nurdin akiwasilisha kero yake
kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) aliposimama katika eneo la Soko la Kinyasini kuzungumza
na na Wananchi wa eneo hilo la Biashara, wakati wa ziara yake katika Mkoa wa
Kaskazini Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na Wafanyabiashara
wa eneo la Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, wakati wa katika
ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Unguja na kusimama kusikiliza kero zao
WANANCHI wa Kijiji cha Kinyasini Wilaya ya
Kaskazini “A” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wananchi
hao na kusikiliza kero zao, akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini
Unguja
WANANCHI wa Kijiji cha Kinyasini Wilaya ya
Kaskazini “A” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wananchi
hao na kusikiliza kero zao, akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini
Unguja
WANANCHI wa Kijiji cha Kinyasini Wilaya ya
Kaskazini “A” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wananchi
hao na kusikiliza kero zao, akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini
Unguja
No comments:
Post a Comment