Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla alipokea zawadi za washindi wa mashindano ya yamle yamle cup zilizotolewa na Bwana Mohamed Raza Mwenyekiti wa Kampuni ya ZAT.
Mhe. Hemed alitaka wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kujitathmini kupitia mashindano hayo ili kurejesha hadhi ya soko visiwani Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla alipokea zawadi za washindi wa mashindano ya yamle yamle cup zilizotolewa na Bwana Mohamed Raza Mwenyekiti wa Kampuni ya ZAT.
Mhe. Hemed alitaka wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kujitathmini kupitia mashindano hayo ili kurejesha hadhi ya soko visiwani Zanzibar.
No comments:
Post a Comment