Habari za Punde

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Kwa Watumishi wa Umma Tanzania (PSSSF) Watowa Semina Kwa Wastafu Watarajiwa Zanzibar.

MENEJA Mwandamizi kwa wateja binafsi wa Benki ya NMB.Ndg. Ally Nyingite akiwasilisha mada katika Semina ya siku mbili kwa wastaafu watarajiwa katika mwaka wa fedha 2021-2022, semina hiyo  iliandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na kudhaminiwa na benki ya NMB ilifanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil Jijini Zanzibar.

MENEJA Mwandamizi kwa wateja binafsi wa Benki ya NMB.Ndg. Ally Nyingite akiwasilisha mada katika Semina ya siku mbili kwa wastaafu watarajiwa katika mwaka wa fedha 2021-2022, semina hiyo  iliandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na kudhaminiwa na benki ya NMB ilifanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil Jijini Zanzibar.

WASTAAFU watarajiwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 wakiwa katika semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Jijini Zanzibar.

WASTAAFU watarajiwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 wakiwa katika semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Jijini Zanzibar.

MENEJA wateja maalum kutoka Benki ya CRDB, Crispin Sichalwe akitoa mada katika Semina ya siku mbili kwa wastaafu watarajiwa katika mwaka wa fedha 2021-2022, semina hiyo  iliandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na kufanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil Jijini Zanzibar.

WASTAAFU watarajiwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 wakiwa katika semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Jijini Zanzibar.






WASTAAFU watarajiwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 wakiwa katika semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Jijini Zanzibar.

MGENI Rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar anaeshughulikia masuala ya TEHAMA, Rashid Said Rashid akiwa katika picha ya pamoja na waandaaji na wadhamini  wa semina ya siku mbili kwa wastaafu watarajiwa iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na kufanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil Jijini Zanzibar.

MGENI Rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar anaeshughulikia masuala ya TEHAMA, Rashid Said Rashid akiwa katika picha ya pamoja na wastaafu watarajiwa katika semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na kudhaminiwa na benki ya NMB ilifanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil Jijini Zanzibar.

MGENI Rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar anaeshughulikia masuala ya TEHAMA, Rashid Said Rashid akiwa katika picha ya pamoja na waandaaji na wadhamini  wa semina ya siku mbili kwa wastaafu watarajiwa iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na kufanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.