Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa Amezindua Asasi ya Kiraia ya NMB Foundation

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Afisa Mtendaji Mkuu   wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna  (wa pili kulia) wakifurahi baada ya  kuzindua  Asasi ya Kiraia ya NMB Foundation kwenye ukumbi wa  hoteli ya Kilimanjaro-Hyatt jijini Dar es salaam, Septemba 6, 2021.  Wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mwanaidi Ali Khamis  na kulia  ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhende.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Afisa Mtendaji Mkuu   wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna  (wa pili kulia) wakifungua milango kuashiria uzinduzi wa  Asasi ya Kiraia ya NMB Foundation kwenye ukumbi wa  hoteli ya Kilimanjaro-Hyatt jijini Dar es salaam, Septemba 6, 2021. Wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,  Mwanaidi Ali Khamis, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makala na kulia  ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhende.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Afisa Mtendaji Mkuu   wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna  (wa pili kulia) wakifungua milango kuashiria uzinduzi wa  Asasi ya Kiraia ya NMB Foundation kwenye ukumbi wa  hoteli ya Kilimanjaro-Hyatt jijini Dar es salaam, Septemba 6, 2021. Wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,  Mwanaidi Ali Khamis, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makala na kulia  ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhende.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji wa Benki ya NMB baada ya kuzindua Asasi ya Kiraia ya NMB Foundation kwenye ukumbi wa  hoteli ya Kilimanjaro-Hyatt jijini Dar es salaam, Septemba 6, 2021.  Waliokaa kutoka kushoto  ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makala, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NMB, Dkt. Edwin Mhende, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,  Mwanaidi  Ali Khamis na kulia ni Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.